Palau : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
{{Pasifiki}}
d roboti Nyongeza: hy:Պալաու
Mstari 117: Mstari 117:
[[ht:Palao]]
[[ht:Palao]]
[[hu:Palau]]
[[hu:Palau]]
[[hy:Պալաու]]
[[id:Palau]]
[[id:Palau]]
[[ilo:Palau]]
[[ilo:Palau]]

Pitio la 22:59, 4 Agosti 2010

Palau


Ramani ya Palau

Palau ni nchi ya visiwani ya Mikronesia katika Bahari ya Pasifiki. Iko takriban km 500 upande wa mashariki wa Ufilipino. Jumla kuna visiwa 250 hadi 350 na idadi inategemea namna gani matazamaji anapendelea kuhesabu sehemu ya nchi kavu kuwa kisiwa kufuatana na ukubwa au udogo wake. Visiwa tisa vimekaliwa na watu na kisiwa kikubwa chenye km² 331 ni Babelthuap.

Hadi 1994 ilikuwa nchi lindwa chini ya Marekani kwa niaba ya Umoja wa Mataifa. Marekani inaendelea kuwajikiba kwa mambo ya kijeshi kufuatan na mkataba uliofanywa baada ya uhuru.

Mji mkuu ni Melekeok kwenye kisiwa cha Babelthuap.

Mikoa 16 ya Palau
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.