Kito (madini) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ro:Piatră prețioasă |
d roboti Nyongeza: ht:Pyè presye |
||
Mstari 41: | Mstari 41: | ||
[[haw:Gema]] |
[[haw:Gema]] |
||
[[he:אבן חן]] |
[[he:אבן חן]] |
||
[[ht:Pyè presye]] |
|||
[[hu:Drágakő]] |
[[hu:Drágakő]] |
||
[[id:Batu permata]] |
[[id:Batu permata]] |
Pitio la 12:05, 4 Agosti 2010
Vito (pia: johari, mawe ya thamani) ni madini adimu na ngumu zinazopendekeza kwa sababu ya rangi yao. Vinapendwa na watu na kutumiwa kama mapambo. Kito chenye thamani kubwa ni almasi.
Mara nyingi vinakatwa, kusuguliwa na kung'arishwa kwa namna mbalimbali na kutumiwa pamoja na metali adili kama dhahabu au fedha kuwa mapambo kama pete, hereni, mkufu au bizimu.
Mifano ya vito ni
Lulu na korali hutajwa wakati mwingine pia kama kito ingawa si minerali asilia lakini dutu inayotengenezwa na wanyama.
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kito (madini) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |