Adalbert wa Prague : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: hr:Sveti Vojtech
d roboti Badiliko: hr:Sveti Vojtjeh
Mstari 28: Mstari 28:
[[fr:Adalbert de Prague]]
[[fr:Adalbert de Prague]]
[[gl:Adalberto de Praga]]
[[gl:Adalberto de Praga]]
[[hr:Sveti Vojtech]]
[[hr:Sveti Vojtjeh]]
[[hu:Szent Adalbert]]
[[hu:Szent Adalbert]]
[[id:Santo Adelbertus]]
[[id:Santo Adelbertus]]

Pitio la 21:40, 31 Julai 2010

Adalbert wa Prague

Adalbert wa Prague (kwa Kicheki Vojtěch, kwa Kipolandi Wojciech, kwa Kijerumani Adalbert) alizaliwa Libice takriban mwaka 956 – akauawa tarehe 23 Aprili, 997) akiwa askofu mmisionari katika mji wa Prague (Ucheki).

Mwaka 999 alitangazwa kuwa mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 23 Aprili.

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.