Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: zh-classical:萬國公制
Mstari 104: Mstari 104:
[[yo:Ìwọ̀n Ẹyọ Akáríayé SI]]
[[yo:Ìwọ̀n Ẹyọ Akáríayé SI]]
[[zh:国际单位制]]
[[zh:国际单位制]]
[[zh-classical:萬國公制]]
[[zh-min-nan:Kok-chè Tan-ūi Hē-thóng]]
[[zh-min-nan:Kok-chè Tan-ūi Hē-thóng]]
[[zh-yue:國際單位制]]
[[zh-yue:國際單位制]]

Pitio la 03:07, 29 Julai 2010

Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.

Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).

Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA