São Paulo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ro:São Paulo (oraș)
d roboti Nyongeza: kl:São Paulo
Mstari 79: Mstari 79:
[[ja:サンパウロ市]]
[[ja:サンパウロ市]]
[[ka:სან-პაულუ]]
[[ka:სან-პაულუ]]
[[kl:São Paulo]]
[[kn:ಸಾವೊ ಪಾಲೊ]]
[[kn:ಸಾವೊ ಪಾಲೊ]]
[[ko:상파울루]]
[[ko:상파울루]]

Pitio la 23:24, 15 Julai 2010

Faili:Saopaulo paulista.jpg
Jiji la Sao Paulo

São Paulo (Kireno: Mt. Paulo) ni jiji kubwa la Brazil pia jiji kubwa katika nusudunia ya kusini lenye wakazi zaidi ya milioni 10 jijini au karibu milioni 20 katika rundiko la jiji.

Historia

Mwaka 1554 mapadre wawili Manuel da Nóbrega na José de Anchieta walijenga kituo cha misioni pamoja na shule kwa kuwalengea wenyeji asilia wa Brazil.

Kituo kiki kilikuwa mbegu wa kijiji, baadaye mji (1711) halafu jiji la Mt. Paulo.

Wakati wa karne ya 18 kilimo cha sukari kiliimarisha kilimo cha eneo la mji. Karne ya 19 ilileta kilimo cha kahawa na wahamiaji wengi kutoka Ulaya hasa kutoka Italia. Katika karne ya 20 viwanda viliongezeka.

Leo hii jiji ni kitovu cha biashara, huduma na teknolojia cha Brazil yote.

Jiografia

Rundiko la jiji la Sao Pauli (nyekundu)
mitaa ya São Paulo

São Paulo iko katika nyanda za juu kwenye kimo cha 760 m juu ya UB. Hali ya hewa ni ya kupoa.

Kuna uwanja wa ndege tatu .

Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu São Paulo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA