Msumari : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lmo:Ciod
d roboti Nyongeza: lv:Nagla
Mstari 49: Mstari 49:
[[lmo:Ciod]]
[[lmo:Ciod]]
[[lt:Vinis]]
[[lt:Vinis]]
[[lv:Nagla]]
[[ml:ആണി]]
[[ml:ആണി]]
[[ms:Paku]]
[[ms:Paku]]

Pitio la 09:25, 13 Julai 2010

Misumari
Msumari katika ubao

Msumari (pia: msumali) ni nondo nyembamba ya chuma au feleji yenye ncha na kichwa. Inatumiwa kwa kufunga kitu juu ya kitu kingine.

Kwa kawaida hupigwa kwa kutumia nyundo na hivyo kuingizwa katika ubao au ukutani.