Mahakama ya Kimataifa ya Jinai : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
CGN2010 (majadiliano | michango)
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:International Criminal Court logo.svg|thumb|Mahakama ya Kimataifa ya Jinai]]
[[File:Omar al-Bashir, 12th AU Summit, 090131-N-0506A-342.jpg|thumb|right|Rais wa Sudan Omar al-Bashir ambaye anatakiwa kufikishwa mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai kwa ukiukaji wa haki za kibinadamu katika eneo la Darfur]]
[[File:Omar al-Bashir, 12th AU Summit, 090131-N-0506A-342.jpg|thumb|right|Rais wa Sudan Omar al-Bashir ambaye anatakiwa kufikishwa mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai kwa ukiukaji wa haki za kibinadamu katika eneo la Darfur]]


Mstari 6: Mstari 7:


Kufikia mwaka wa 2010, nchi 110 ni wanachama wa mahakama hayo, na nchi zingine 38 zimetia sahini lakini hazijapitisha kisheria Mkataba wa Roma. Hata hivyo, mataifa mengi, ikiwemo [[Uchina]], [[Uhindi]], [[Urusi]] na [[Marekani]] zinazidi kuyakosoa mahakama hayo na hazijajiunga nayo.
Kufikia mwaka wa 2010, nchi 110 ni wanachama wa mahakama hayo, na nchi zingine 38 zimetia sahini lakini hazijapitisha kisheria Mkataba wa Roma. Hata hivyo, mataifa mengi, ikiwemo [[Uchina]], [[Uhindi]], [[Urusi]] na [[Marekani]] zinazidi kuyakosoa mahakama hayo na hazijajiunga nayo.


{{commonscat|ICC}}


{{mbegu}}
{{mbegu}}


[[Jamii:Sheria]]
[[Jamii:Sheria]]
[[Jamii:Mashirika]]
[[Jamii:Mashirika]]

[[ar:المحكمة الجنائية الدولية]]
[[bn:আন্তর্জাতিক অপরাধী আদালত]]
[[zh-min-nan:Kok-chè Hêng-sū Hoat-īⁿ]]
[[bg:Международен наказателен съд]]
[[ca:Cort Penal Internacional]]
[[cs:Mezinárodní trestní soud]]
[[da:Den Internationale Straffedomstol]]
[[de:Internationaler Strafgerichtshof]]
[[et:Rahvusvaheline Kriminaalkohus]]
[[el:Διεθνές Ποινικό Δικαστήριο]]
[[es:Corte Penal Internacional]]
[[eo:Internacia puna kortumo]]
[[eu:Nazioarteko Zigor Gortea]]
[[fa:دیوان بین‌المللی کیفری]]
[[fr:Cour pénale internationale]]
[[gl:Corte Penal Internacional]]
[[ko:국제형사재판소]]
[[ha:Kotun Shari'ar Miyagun Laifuka]]
[[io:Internaciona Kriminala Korto]]
[[id:Pengadilan Kriminal Internasional]]
[[is:Alþjóðlegi sakamáladómstóllinn]]
[[it:Corte Penale Internazionale]]
[[he:בית הדין הפלילי הבינלאומי]]
[[ka:საერთაშორისო კრიმინალური სასამართლო]]
[[lv:Starptautiskā krimināltiesa]]
[[lt:Tarptautinis Baudžiamasis Teismas]]
[[hu:Nemzetközi Büntetőbíróság]]
[[mk:Меѓународен кривичен суд]]
[[ml:അന്തർദേശീയ ക്രിമിനൽ കോടതി]]
[[ms:Mahkamah Jenayah Antarabangsa]]
[[nl:Internationaal Strafhof]]
[[new:अन्तरराष्ट्रीय अपराध अदालत]]
[[ja:国際刑事裁判所]]
[[no:Den internasjonale straffedomstolen]]
[[pms:Cort penal antërnassional]]
[[pl:Międzynarodowy Trybunał Karny]]
[[pt:Corte Penal Internacional]]
[[ro:Curtea Penală Internațională]]
[[ru:Международный уголовный суд]]
[[si:ජාත්‍යන්තර අපරාධ අධිකරණය]]
[[simple:International Criminal Court]]
[[sk:Medzinárodný trestný súd]]
[[sr:Међународни кривични суд]]
[[sh:Međunarodni krivični sud]]
[[fi:Kansainvälinen rikostuomioistuin]]
[[sv:Internationella brottmålsdomstolen]]
[[ta:பன்னாட்டு குற்றவியல் நீதிமன்றம்]]
[[th:ศาลอาญาระหว่างประเทศ]]
[[tr:Uluslararası Ceza Mahkemesi]]
[[fiu-vro:Riikevaihõlinõ Kriminaalkohus]]
[[yo:International Criminal Court]]
[[zh:国际刑事法院]]

Pitio la 11:09, 12 Julai 2010

Mahakama ya Kimataifa ya Jinai
Rais wa Sudan Omar al-Bashir ambaye anatakiwa kufikishwa mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai kwa ukiukaji wa haki za kibinadamu katika eneo la Darfur

Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (Kifaransa: Cour Pénale Internationale; ambayo kawaida hujulikana kama ICC au ICCt ni mahakama ya kudumu ya kuwashtaki watu kwa mauaji ya kimbari, hatia dhidi ya ubinadamu, hatia za kivita na hatia ya ushambulizi (ingawa kwa sasa haiwezi kuwashtaki watu kwa hatia ya ushambulizi)

Mahakama haya yaliundwa mnamo tarehe Mosi Julai, mwaka wa 2000 - tarehe ambapo Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ulipata nguvu za kisheria.

Kufikia mwaka wa 2010, nchi 110 ni wanachama wa mahakama hayo, na nchi zingine 38 zimetia sahini lakini hazijapitisha kisheria Mkataba wa Roma. Hata hivyo, mataifa mengi, ikiwemo Uchina, Uhindi, Urusi na Marekani zinazidi kuyakosoa mahakama hayo na hazijajiunga nayo.


Wikimedia Commons ina media kuhusu: