North Carolina : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: be-x-old:Паўночная Караліна |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: ro:Carolina de Nord (stat SUA) |
||
Mstari 101: | Mstari 101: | ||
[[qu:North Carolina suyu]] |
[[qu:North Carolina suyu]] |
||
[[rm:North Carolina]] |
[[rm:North Carolina]] |
||
[[ro: |
[[ro:Carolina de Nord (stat SUA)]] |
||
[[ru:Северная Каролина]] |
[[ru:Северная Каролина]] |
||
[[scn:Carolina dû Nord]] |
[[scn:Carolina dû Nord]] |
Pitio la 05:39, 9 Julai 2010
North Carolina (Karolina ya Kaskazini) ni jimbo la kujitawala la Marekani kwenye mwambao wa Atlantiki. Mji mkuu ni Raleigh na mji mkubwa ni Charlotte.
North Carolina ilikuwa kati ya majimbo 13 yaliyoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda Maungano ya Madola ya Amerika tangu 1789.
Imepakana na South Carolina, Georgia, Tennessee, Virginia na Bahari ya Atlantiki.
Jina limetokana na koloni ya Uingereza lililotolewa jina kwa heshima ya mfalme Charles II wa Uingereza. Kwa Kilatini "Charles ni "Carolus" au Karolo).
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu North Carolina kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |