Bunilizi ya kinjozi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ms:Fantasi
d roboti Nyongeza: gv:Fansee
Mstari 24: Mstari 24:
[[fr:Fantasy]]
[[fr:Fantasy]]
[[gl:Fantasía]]
[[gl:Fantasía]]
[[gv:Fansee]]
[[he:פנטזיה]]
[[he:פנטזיה]]
[[hr:Fantastika]]
[[hr:Fantastika]]

Pitio la 15:39, 7 Julai 2010

Bunilizi ya kinjozi (au bunilizi ya kifantasia) ni utanzu fulani wa fasihi andishi. Katika bunilizi hiyo mwandishi anatumia matukio au wahusika wasio wa kawaida. Mifano ya bunilizi ya kinjozi katika fasihi ya Kiingereza ni "A Midsummer Night's Dream" (Ndoto ya Usiku Mmoja) ya William Shakespeare, "Gulliver's Travels" (Safari za Guliveri) ya Jonathan Swift, au "The Lord of the Rings" (Bwana wa Mapete) ya J.R.R. Tolkien.

Bunilizi ya kinjozi hutofautishwa na bunilizi ya kisayansi kwa vile haisifu mambo ya teknolojia bali inatumia maajabu na viumbe vya visasili.

Marejeo

Wamitila, K.W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Books.