Hesse : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fj:Hesse
d roboti Badiliko: ang:Hetwaraland
Mstari 37: Mstari 37:
[[als:Hessen]]
[[als:Hessen]]
[[an:Hesse]]
[[an:Hesse]]
[[ang:Hesse]]
[[ang:Hetwaraland]]
[[ar:هسن]]
[[ar:هسن]]
[[ast:Hesse]]
[[ast:Hesse]]

Pitio la 23:41, 30 Juni 2010

Mahali pa Hesse katika Ujerumani

Hesse (Kijerumani:Hessen) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 6,1 kwenye eneo la 21 114 km². Mji mkuu ni Wiesbaden. Waziri mkuu ni Roland Koch (CDU).

Jiografia

Hesse imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Rhine Kaskazini - Westfalia, Saksonia ya chini, Thuringia, Rhine-Palatino, Baden-Württemberg na Bavaria.

Miji mikubwa ni pamoja na Frankfurt, Wiesbaden, Kassel, Darmstadt, Offenbach, Marburg, Fulda, Gießen, Wetzlar, Hanau na Bad Homburg.

Rhine, Lahn na Main ni mito muhimu zaidi.



Picha za Hesse

Tovuti za Nje


 
Majimbo ya Ujerumani
Baden-WürttembergBavaria (Bayern)BerlinBrandenburgBremenHamburgHesse (Hessen)Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern)Saksonia Chini (Niedersachsen)Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen)Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz)Saar (Saarland)Saksonia (Sachsen)Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt)Schleswig-HolsteinThuringia (Thüringen)