William Fowler : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
+jamii
d robot Removing: de:William Fowler
Mstari 11: Mstari 11:
{{mbegu}}
{{mbegu}}


[[de:William Fowler]]
[[en:William Fowler]]
[[en:William Fowler]]

Pitio la 07:45, 2 Aprili 2007

William Alfred Fowler (9 Agosti, 191114 Machi, 1995) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza uenezaji wa elementi za kikemia ndani ya nyota. Mwaka wa 1983, pamoja na Subrahmanyan Chandrasekhar alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.