Orodha ya Messier : Tofauti kati ya masahihisho
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: id:Objek Messier |
d roboti Nyongeza: he:קטלוג מסיה |
||
Mstari 26: | Mstari 26: | ||
[[fi:Messierin luettelo]] |
[[fi:Messierin luettelo]] |
||
[[fr:Catalogue Messier]] |
[[fr:Catalogue Messier]] |
||
[[he:קטלוג מסיה]] |
|||
[[hr:Messierov katalog]] |
[[hr:Messierov katalog]] |
||
[[hu:Messier-katalógus]] |
[[hu:Messier-katalógus]] |
Pitio la 17:04, 29 Juni 2010
Orodha ya Messier ni orodha ya nyota iliyoandikwa na mwanafalaki Mfaransa Charles Messier kati ya 1764 na 1782.
Messier alitafuta hasa nyotamkia angani akitumia darubini. Aliona pia magimba mengine yaliyoonekana kama nebula (wingu dogo linalogn'aa) zisizotembea angani kwa hiyo hazikuwa nyotamkia. Akaamua kuziorodhesha.
Orodha hii ilikuwa orodha ya kwanza iliyokubaliwa na wanafalaki wengi kimataifa. Nyota na nebula zake zilijulikana kufuatana na namba jinsi zilivyoandikwa katika orodha ya Messier yaani M1, M2 na kadhalika. M1 ni nebula ya kaa, M45 ni fungunyota ya kilimia na galaksi ya Andromeda ni M31.
Kuna namba 110 katika orodha hii.
Orodha za nyota za kisasa zinaonyesha nyota malakhi lakini namba za Messier zinaendelea kutumiwa hadi leo kwa vitu vinavyoorodhesha kwake.