Haki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d roboti Nyongeza: fa:داد, ht:Lajistis |
||
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
[[es:Justicia]] |
[[es:Justicia]] |
||
[[et:Õiglus]] |
[[et:Õiglus]] |
||
[[fa:داد]] |
|||
[[fi:Oikeus]] |
[[fi:Oikeus]] |
||
[[fr:Justice]] |
[[fr:Justice]] |
||
[[he:צדק (מוסר)]] |
[[he:צדק (מוסר)]] |
||
[[ht:Lajistis]] |
|||
[[ia:Justitia]] |
[[ia:Justitia]] |
||
[[id:Keadilan]] |
[[id:Keadilan]] |
Pitio la 09:33, 28 Juni 2010
Maadili bawaba |
---|
Haki ndiyo utaratibu unaotakiwa katika mafungamano.
Kwa Kigiriki inaitwa dikaiosyne, kutokana na neno asili dike yaani anayeelekeza na kwa hiyo pia mwongozo, utaratibu. Tofauti na nomos, yaani sheria inayoongoza wanyama pia, dike inahitajiwa na binadamu ili kuishi kwa utaratibu. Ni kinyume cha bie, ukatili, nguvu inayoangamiza. Dikaios (mwenye kujali haki), ni mtu anayemtendea kila mmoja haki yake. Dikaia zoe ni maisha ya kiutu yanayopingana na hybris (kiburi) na ushenzi.
Kwa Kilatini kutokana na neno jus, haki, linapatikana neno justus, mwenye kujali haki, na hatimaye justitia, iliyo adili la msingi la utu linalotufanta tumpatie mwingine anachostahili.