Waraka wa kwanza kwa Timotheo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lmo:Prima letera a'l Timotee |
d roboti Nyongeza: el:Α' Επιστολή προς Τιμόθεο |
||
Mstari 22: | Mstari 22: | ||
[[cs:První list Timoteovi]] |
[[cs:První list Timoteovi]] |
||
[[de:1. Brief des Paulus an Timotheus]] |
[[de:1. Brief des Paulus an Timotheus]] |
||
[[el:Α' Επιστολή προς Τιμόθεο]] |
|||
[[en:First Epistle to Timothy]] |
[[en:First Epistle to Timothy]] |
||
[[eo:1-a epistolo al Timoteo]] |
[[eo:1-a epistolo al Timoteo]] |
Pitio la 12:20, 20 Juni 2010
Barua ya kwanza kwa Timotheo ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Ukristo.
Pamoja na ile ya pili aliyomuandikia na ile kwa Tito inaunda kundi la Nyaraka za Kichungaji.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mazingira
Barua hii iliandikwa na Mtume Paulo baada ya kifungo chake cha kwanza mjini Roma labda akiwa Makedonia ili kumpa mwanafunzi wake mpenzi mashauri na maelekezo kwa kazi yake aliyomshirikisha.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili