Vergilio : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ar:فرجيل
d roboti Nyongeza: hy:Վերգիլիուս
Mstari 49: Mstari 49:
[[hr:Publije Vergilije Maron]]
[[hr:Publije Vergilije Maron]]
[[hu:Publius Vergilius Maro]]
[[hu:Publius Vergilius Maro]]
[[hy:Վերգիլիուս]]
[[id:Publius Vergilius Maro]]
[[id:Publius Vergilius Maro]]
[[is:Virgill]]
[[is:Virgill]]

Pitio la 11:26, 20 Juni 2010

Vergilio

Publius Vergilius Maro (jina limefupishwa pia kama Virgil au Vergil), (15 Oktoba 70 KK - 21 Septemba 19 KK) alikuwa mwandishi na mshairi mashuhuri wa Roma ya Kale. Aliandika kwa lugha ya Kilatini.

Vergilio alizaliwa Italia ya Kaskazini akasoma mjini Roma alipoanza kutunga shairi zake za kwanza akaendelea kuishi Italia ya Kusini karibu na Napoli.

Wakati wa maisha yake ulikuwa kipindi cha utawala wa Julius Caesar, vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya Caesar na mwanzo wa utawala wa Augusto.

Mashairi ya Vergilio yanahusu maisha ya kila siku pamoja habari za kihistoria hasa masimulizi juu ya mashujaa wa kale.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vergilio kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.