Mstari mnyoofu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: tr:Doğru (geometri)
d roboti Badiliko: ckb:ھێڵ (ئەندازە)
Mstari 18: Mstari 18:
[[bs:Prava (geometrija)]]
[[bs:Prava (geometrija)]]
[[ca:Recta]]
[[ca:Recta]]
[[ckb:هێڵ (هەندەسە)]]
[[ckb:ھێڵ (ئەندازە)]]
[[cs:Přímka]]
[[cs:Přímka]]
[[da:Linje]]
[[da:Linje]]

Pitio la 22:18, 19 Juni 2010

Mistari minyoofu katika mfumo majira

Mstari mnyoofu (pia: Mstari ulionyooka) ni hoja la kijiometria. Katika tambarare mstari mnyoofu ni njia fupi kati ya nukta mbili inayoendelea kila upande bila badiliko la mwelekeo. Hauna mwisho au mwanzo wala upana au unene.

Kwa lugha nyingine ni jumla ya nukta zote zilizopo kwenye njia hiyo.

Tena kwa lugha nyingine ni mwelekeo wa nukta inayoelekea mahali bila kubadilisha mwelekeo huu.