David Hubel : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 31: Mstari 31:
[[ru:Хьюбел, Дэвид]]
[[ru:Хьюбел, Дэвид]]
[[sv:David H. Hubel]]
[[sv:David H. Hubel]]
[[uk:Девід Хантер Хьюбел]]
[[uk:Девід Хантер Х'юбел]]
[[zh:大衛·休伯爾]]
[[zh:大衛·休伯爾]]

Pitio la 14:24, 19 Juni 2010

David Hunter Hubel (amezaliwa 27 Februari, 1926) alikuwa daktari kutoka nchi ya Kanada. Baadaye alihamia na kufanya kazi nchini Marekani. Hasa alichunguza jinsi habari za macho zinazofikishwa ubongoni. Mwaka wa 1981, pamoja na Roger Sperry na Torsten Wiesel alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.


Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu David Hubel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.