Adamu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ps:آدم
d roboti Badiliko: so:Nabi Aadam C.S.
Mstari 61: Mstari 61:
[[scn:Addamu (primu omu)]]
[[scn:Addamu (primu omu)]]
[[sh:Adam]]
[[sh:Adam]]
[[so:Nabi Aadam C.S]]
[[so:Nabi Aadam C.S.]]
[[sq:Adami]]
[[sq:Adami]]
[[ta:ஆதாம்]]
[[ta:ஆதாம்]]

Pitio la 18:24, 18 Juni 2010

Uumbaji wa Adamu ulivyochorwa na Michelangelo Buonarroti katika Cappella Sistina (1511) ni mojawapo kati ya michoro maarufu zaidi duniani.
Uuumbaji wa Adamu kadiri ya Andrea Pisano, 1334-1336

Adamu (kwa Kiebrania: אָדָם maana yake mtu, mtu wa udongo, chaudongo, au wa udongo mwekundu) ni jina analopewa mtu wa kwanza katika Biblia na Kurani.

Kadiri ya kitabu cha Mwanzo, alizaliana na mke wake Eva watu wote waliopo duniani, ambao kwa sababu hiyo wanaitwa binadamu; kwa namna ya pekee waliweza kuzaa wenyewe Kaini, Abeli na Set.

Kanisa Katoliki linamheshimu kama mtakatifu kila tarehe 24 Desemba.

Katika Biblia

Heinrich Aldegrever, Adamu na simba, wakiishi kwa amani kabla ya Dhambi ya Asili
Eva akiumbwa kwa ubavu wa Adamu alivyochongwa na (Lorenzo Maitani na shule yake, upande wa mbele wa Kanisa kuu la Orvieto).

Uumbaji wa watu wa kwanza unasimuliwa na Mwanzo mara mbili: katika 1,26-28 na katika 2,7-22.

Masimulizi hayo yanayotofautiana katika vipengele mbalimbali hayadai yachukuliwe kama habari za historia zinazoandikwa siku hizi. Yanatokana na tafakuri ya kina juu ya hali ya binadamu.

Katika Kurani

Humo Adamu anatajwa kwa namna inayofanana na ile ya Biblia. Anahesabiwa kuwa mtume wa kwanza.