Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Ondoa: wuu:平方公里 |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: su:Kilométer pasagi |
||
Mstari 87: | Mstari 87: | ||
[[sq:Kilometër katror]] |
[[sq:Kilometër katror]] |
||
[[sr:Квадратни километар]] |
[[sr:Квадратни километар]] |
||
[[su:Kilométer pasagi]] |
|||
[[sv:Kvadratkilometer]] |
[[sv:Kvadratkilometer]] |
||
[[szl:Kwadratkilomyjter]] |
[[szl:Kwadratkilomyjter]] |
Pitio la 02:52, 17 Juni 2010
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047