Sakuramachi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: nl:Sakuramachi
d roboti Nyongeza: it:Sakuramachi
Mstari 14: Mstari 14:
[[es:Emperador Sakuramachi]]
[[es:Emperador Sakuramachi]]
[[fr:Sakuramachi]]
[[fr:Sakuramachi]]
[[it:Sakuramachi]]
[[ja:桜町天皇]]
[[ja:桜町天皇]]
[[ko:사쿠라마치 천황]]
[[ko:사쿠라마치 천황]]

Pitio la 18:44, 16 Juni 2010

Sakuramachi (8 Februari, 172028 Mei, 1750) alikuwa mfalme mkuu wa 115 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Teruhito. Tarehe 13 Aprili, 1735 alimfuata baba yake, Nakamikado, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 9 Juni, 1747. Aliyemfuata ni mwana wake, Momozono.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sakuramachi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.