Hipparchos wa Nikaia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sh:Hiparh |
d roboti Nyongeza: tl:Hiparco |
||
Mstari 51: | Mstari 51: | ||
[[sv:Hipparchos]] |
[[sv:Hipparchos]] |
||
[[th:ฮิปปาร์คัส]] |
[[th:ฮิปปาร์คัส]] |
||
[[tl:Hiparco]] |
|||
[[tr:İparhos]] |
[[tr:İparhos]] |
||
[[uk:Гіппарх]] |
[[uk:Гіппарх]] |
Pitio la 02:25, 12 Juni 2010
Hipparchos (Kigiriki Ἵππαρχος; takr. 190 KK hadi takr. 120 KK) alikuwa mtaalamu wa falaki, jiografia na hisabati wa Ugiriki ya Kale.
Alizaliwa mjini Nikaia (leo: Iznik katika Uturuki) akafariki kwenye kisiwa cha Rhodos. Hutazamiwa kama mwanafalaki muhimu kabisa wa nyakati za kale.
Aliorodhesha nyota 800 na kuzichora katika ramani ya anga. Aliweza kukadiria kupatwa kwa jua na kukutabiri.
Katika hisabati alianzisha mbinu za kijiometria kwa mfano mgawanyo wa duara kuwa na nyuzi 360.