Maporomoko ya Niagara : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
- {{Link FA|fr}}
d roboti Nyongeza: ur:نیاگرا آبشار
Mstari 97: Mstari 97:
[[tt:Ниагара шарлавыгы]]
[[tt:Ниагара шарлавыгы]]
[[uk:Ніагарський водоспад]]
[[uk:Ніагарський водоспад]]
[[ur:نیاگرا آبشار]]
[[vi:Thác Niagara]]
[[vi:Thác Niagara]]
[[war:Busay Niagara]]
[[war:Busay Niagara]]

Pitio la 15:38, 9 Juni 2010

Maporomoko ya Niagara (Horseshoe Falls)

Maporomoko ya Niagara (Niagara Falls) ni mfululizo wa maporomoko ya mto Niagara yaliyopo mpakani mwa Kanada na Marekani kati ya Ziwa Erie na Ziwa Ontario. Ni maporomoko makubwa ya Amerika ya Kaskazini.

Wenyeji hutofautisha maporomoko matatu

  • Horseshoe Falls (maporomoko ya mguu wa farasi, yanaitwa pia maporomoko ya Kikanada)
  • Maporomoko ya Kimarekani
  • Maporomoko ya Bridal Veil (utaji wa bibi arusi)

Ni kitovu cha utalii katika Amerika ya Kaskazini kinachotembelewa na watalii wngi sana.

Kuna miji miwili inayoitwa Niagara Falls upande wa Kanada na mwingine upande wa Marekani.

Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA