Henri Dunant : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
{{defaultsort}}, +jamii
d robot Adding: io:Jean Henri Dunant
Mstari 28: Mstari 28:
[[hu:Jean Henri Dunant]]
[[hu:Jean Henri Dunant]]
[[id:Henry Dunant]]
[[id:Henry Dunant]]
[[io:Jean Henri Dunant]]
[[it:Jean Henri Dunant]]
[[it:Jean Henri Dunant]]
[[ja:アンリ・デュナン]]
[[ja:アンリ・デュナン]]

Pitio la 17:37, 30 Machi 2007

Henri Dunant, takriban 1860

Henri Dunant (8 Mei, 182830 Oktoba, 1910) alikuwa mwandishi na mfadhili wa nchi ya Uswisi. Mwaka wa 1859 alianzisha Chama cha Kimataifa cha Msalaba Mwekundu. Pia alisababisha Mapatano ya Geneva. Mwaka wa 1901, pamoja na Frederic Passy, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.