Gujarat : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
→‎Viungo vya nje: Kigezo:India using AWB
d roboti Nyongeza: sd:گُجرات
Mstari 73: Mstari 73:
[[ru:Гуджарат]]
[[ru:Гуджарат]]
[[sa:गुजरात]]
[[sa:गुजरात]]
[[sd:گُجرات]]
[[sh:Gujarat]]
[[sh:Gujarat]]
[[si:ගුජරාටය]]
[[si:ගුජරාටය]]

Pitio la 21:13, 3 Juni 2010

Gujarat kwenye ramani ya India
Ramani ya Gujarat
Ramani ya Gujarat

Gujarat ni jimbo la kujitawala ndani ya shirikisho la Uhindi. Mji mkuu ni Gandhinagar ambayo ni mji mpya uliopewa jina lake kwa kwa heshima ya Mahatma Gandhi alyiezaliwa Gujarat.

Gujarat ina eneo la 196,024 km² zinazokaliwa na wakazi milioni 50. Lugha rasmi ni Kigujarati inayotumiwa na asilimia 80 za wakazi. Watu wengi ni Wahindu (89%), kuna pia Waislamu (9%) na Wajain (1%).

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Gujarat kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.