Barafuto : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: rm:Glatscher |
d roboti Badiliko: ro:Ghețar |
||
Mstari 73: | Mstari 73: | ||
[[qu:Hatun chullunku]] |
[[qu:Hatun chullunku]] |
||
[[rm:Glatscher]] |
[[rm:Glatscher]] |
||
[[ro: |
[[ro:Ghețar]] |
||
[[ru:Ледник]] |
[[ru:Ледник]] |
||
[[sah:Булуус]] |
[[sah:Булуус]] |
Pitio la 17:45, 3 Juni 2010
Barafuto huitwa pia "mto wa barafu". Ni kanda kubwa la barafu iliyoanza kutambaa kutokana na uzito wake ikifuata uvutano kwenye mtelemko. Kwa sababu hiyo barafuto zinapatikana hasa mlimani.
Asili ya barafu ya barafuto
Barafuto zimetokana na theluji inayokaa miaka mingi bila kuyeyuka katika mazingira baridi. Theluji mpya inakaa juu ya theluji ya miaka iliyotangulia. Uzito wa theluji ya baadaye inakandamiza ile ya chini. Kutokana na shindikizo hili theluji ya chini hubadilika kuwa barafu kabisa.
Barafuto ni kati ya nguvu kubwa za mmomonyoko duniani.
Afrika ina barafuto ndogo kadhaa juu ya mlima Kilimanjaro na mlima Kenya lakini zinaelekea kupotea kutokana na uhaba wa mvua itakayobadilika kuwa theluji mpya.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |