Korongo (Gruidae) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: az:Durnalar
d roboti Nyongeza: uk:Журавлині
Mstari 104: Mstari 104:
[[th:นกกระเรียน]]
[[th:นกกระเรียน]]
[[tr:Turnagiller]]
[[tr:Turnagiller]]
[[uk:Журавлині]]
[[zh:鹤科]]
[[zh:鹤科]]
[[zh-yue:鶴科]]
[[zh-yue:鶴科]]

Pitio la 08:58, 31 Mei 2010

Korongo
Korongo-taji kijivu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Gruiformes (Ndege kama makorongo)
Familia: Gruidae (Ndege walio na mnasaba na makorongo)
Vigors, 1825
Jenasi: Anthropoides Vieillot, 1816

Balearica Brisson, 1760
Bugeranus Gloger, 1841
Grus Brisson, 1760

Makorongo hawa ni ndege wa familia ya Gruidae wenye domo fupi na jembamba kuliko lile la makorongo wa familia ya Ciconiidae. Spishi nyingi hufanya mikogo ya kubembeleza jike wakitoa sauti kubwa. Huugana kwa maishi yao yote. Spishi za nchi za halijoto wastani huhama kila mwaka kabla ya wakati wa baridi. Makorongo hawa hupenda kuwa pamoja na huhama kwa makundi makubwa. Hula kila kitu kinachopatikana, kama panya, watambaazi, amfibia au samaki, hata nafaka na matunda madogo. Spishi za makorongo zinatokea mabara yote ghairi ya Amerika ya Kusini.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengi

Picha