Ziwa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: hy:Լիճ
d roboti Badiliko: eu:Aintzira
Mstari 42: Mstari 42:
[[es:Lago]]
[[es:Lago]]
[[et:Järv]]
[[et:Järv]]
[[eu:Laku]]
[[eu:Aintzira]]
[[fa:دریاچه]]
[[fa:دریاچه]]
[[fi:Järvi]]
[[fi:Järvi]]

Pitio la 17:23, 20 Mei 2010

Ziwa dogo milimani ya Ufaransa
Ziwa Tanganyika ni kati ya maziwa makubwa ya dunia (picha kutoka angani ya 1985

Ziwa ni gimba kubwa la maji linalozungukwa na nchi kavu pande zote. Tofauti na bahari ni ukubwa na kutobadilishana maji na bahari kuu. Lakini maziwa kadhaa yamepewa pia jina la "bahari" hasa kama yana maji ya chumvi au kama watu wa eneo lake hawajui magimba makubwa zaidi ya maji.

Mara nyingi mito inaingia au kutoka katika ziwa.

Maziwa mengi yana maji matamu kama maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki kwa mfano Viktoria Nyanza au Ziwa Nyasa au maziwa makubwa ya Amerika Kaskazini.

Lakini kuna pia maziwa yenye maji ya chumvi kama Bahari ya Chumvi kati ya Yordani na Israel au Bahari ya Kaspi kati ya Urusi na Uajemi.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ziwa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.