Amerika ya Kati : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: pap:Amerika Sentral |
d roboti Nyongeza: nn:Mellom-Amerika |
||
Mstari 98: | Mstari 98: | ||
[[nds:Middelamerika]] |
[[nds:Middelamerika]] |
||
[[nl:Centraal-Amerika]] |
[[nl:Centraal-Amerika]] |
||
[[nn:Mellom-Amerika]] |
|||
[[no:Mellom-Amerika]] |
[[no:Mellom-Amerika]] |
||
[[oc:America Centrala]] |
[[oc:America Centrala]] |
Pitio la 02:33, 15 Mei 2010
Amerika ya Kati ni sehemu ya Amerika kusini ya Marekani na kaskazini ya Kolombia.
- Kijiografia katika hesabu ya kawaida ya bara 7 ni sehemu ya Amerika ya Kaskazini.
- Kihistoria na kiutamaduni ni pekee.
- Kijiolojia iko kwenye bamba la Karibi ambalo ni bamba la gandunia la pekee na mabamba ya Amerika Kaskazini na Amerika Kusini.
Inajumisha nchi za shingo la nchi kati ya Marekani na Kolombia pamoja na visiwa vya Karibi. Kwenye shingo hiyo kuna nchi zifuatazo:
- Meksiko si sehemu ya shingo la nchi lakini kwa sababu za kihistoria na kiutamaduni mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati
Pia kuna nchi za visiwani katika bahari ya Karibi:
- Antigua na Barbuda
- Bahamas
- Barbados
- Dominica
- Jamhuri ya Dominika
- Grenada
- Haiti
- Jamaika
- Kuba
- Saint Kitts na Nevis
- Saint Lucia
- Saint Vincent na Grenadini
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika ya Kati bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Amerika ya Kati kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |