Bamba la Uarabuni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: tr:Arap levhası |
d roboti Nyongeza: ko:아라비아판 |
||
Mstari 28: | Mstari 28: | ||
[[it:Placca araba]] |
[[it:Placca araba]] |
||
[[ja:アラビアプレート]] |
[[ja:アラビアプレート]] |
||
[[ko:아라비아판]] |
|||
[[nl:Arabische Plaat]] |
[[nl:Arabische Plaat]] |
||
[[pl:Płyta arabska]] |
[[pl:Płyta arabska]] |
Pitio la 15:39, 8 Mei 2010
Bamba la Uarabuni ni kati ya mabamba madogo ya gandunia ya dunia yetu. Lipo chini ya rasi la Uarabuni hadi Uturuki na tako la bara.
Bamba limepakana na
Bamba la Uarabuni lilikuwa sehemu ya bamba la Afrika hadi kuachana nalo takriban miaka milioni 30 iliyopita. Lina mwendo wa polpole kuelekea Uturuki - Ulaya.