Dzeta : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: tr:Zita (harf)
d roboti Badiliko: ar:زيتا (حرف)
Mstari 11: Mstari 11:
[[als:Ζ]]
[[als:Ζ]]
[[an:Zeta (letra griega)]]
[[an:Zeta (letra griega)]]
[[ar:زيتا (أبجدية)]]
[[ar:زيتا (حرف)]]
[[arc:Ζ]]
[[arc:Ζ]]
[[ast:Dseta]]
[[ast:Dseta]]

Pitio la 18:47, 4 Mei 2010

Zeta

Dzeta (pia: Zeta) ni herufi ya sita katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama ζ (alama ya kawaida) au Ζ (alama kubwa). Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia alama kwa namba 7.

Asili ya dzeta ni herufi ya kifinisia ya zayin (tazama makala ya herufi Z). Matamshi yake ilikuwa "dz", katika Kigiriki cha kisasa ni zaidi kama Z ya Kiswahili.

Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki ζ inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.