T : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: ace:T; cosmetic changes |
d roboti Nyongeza: xal:T үзг |
||
Mstari 98: | Mstari 98: | ||
[[vi:T]] |
[[vi:T]] |
||
[[vo:T]] |
[[vo:T]] |
||
[[xal:T үзг]] |
|||
[[yi:T]] |
[[yi:T]] |
||
[[yo:T]] |
[[yo:T]] |
Pitio la 18:45, 3 Mei 2010
Alfabeti ya Kilatini (kwa matumizi ya Kiswahili) | ||||||
---|---|---|---|---|---|---|
Aa | Bb | Cc | ch | Dd | ||
Ee | Ff | Gg | Hh | Ii | Jj | |
Kk | Ll | Mm | Nn | Oo | Pp | |
Rr | Ss | Tt | Uu | Vv | ||
Ww | Xx | Yy | Zz |
T ni herufi ya 20 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Tau ya alfabeti ya Kigiriki.
Maana za T
- katika kemia T ni alama ya triti ambayo ni isotopi ya hidrojeni.
- katika ya fizikia "t" ni alama ya wakati (kut. tempus / time)
Historia ya T
Kisemiti asilia T | Kifinisia T | Kietruski T | Kigiriki Tau |
---|---|---|---|
Tâw ilikuwa herufi ya mwisho katika alfabeti ua Wasemiti wa kale. Alama yake ilikuwa msalaba. Wagiriki walipopokea alama za Wafinisia waliiita alama Tau na kusukuma mstari wa kulala juu hadi mwanzo wa mstari wa kusimama.
Waetruski na Waroma wa Kale walipokea vile.