Orodha ya Messier : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sh:Messierov katalog
d roboti Nyongeza: scn:Catàlugu di Messier
Mstari 43: Mstari 43:
[[ro:Catalogul Messier]]
[[ro:Catalogul Messier]]
[[ru:Каталог Мессье]]
[[ru:Каталог Мессье]]
[[scn:Catàlugu di Messier]]
[[sh:Messierov katalog]]
[[sh:Messierov katalog]]
[[sk:Messierov katalóg]]
[[sk:Messierov katalóg]]

Pitio la 01:23, 29 Aprili 2010

Faili:Messier.all.750pix.jpg
Picha za nebula, nyota na galaksi zote za orodha ya Messier kuanzia M1 hadi M110

Orodha ya Messier ni orodha ya nyota iliyoandikwa na mwanafalaki Mfaransa Charles Messier kati ya 1764 na 1782.

Messier alitafuta hasa nyotamkia angani akitumia darubini. Aliona pia magimba mengine yaliyoonekana kama nebula (wingu dogo linalogn'aa) zisizotembea angani kwa hiyo hazikuwa nyotamkia. Akaamua kuziorodhesha.

Orodha hii ilikuwa orodha ya kwanza iliyokubaliwa na wanafalaki wengi kimataifa. Nyota na nebula zake zilijulikana kufuatana na namba jinsi zilivyoandikwa katika orodha ya Messier yaani M1, M2 na kadhalika. M1 ni nebula ya kaa, M45 ni fungunyota ya kilimia na galaksi ya Andromeda ni M31.

Kuna namba 110 katika orodha hii.

Orodha za nyota za kisasa zinaonyesha nyota malakhi lakini namba za Messier zinaendelea kutumiwa hadi leo kwa vitu vinavyoorodhesha kwake.