1962 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: pa:੧੯੬੨ |
d roboti Nyongeza: krc:1962 джыл |
||
Mstari 91: | Mstari 91: | ||
[[kn:೧೯೬೨]] |
[[kn:೧೯೬೨]] |
||
[[ko:1962년]] |
[[ko:1962년]] |
||
[[krc:1962 джыл]] |
|||
[[ksh:Joohr 1962]] |
[[ksh:Joohr 1962]] |
||
[[ku:1962]] |
[[ku:1962]] |
Pitio la 04:21, 28 Aprili 2010
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1930 |
Miaka ya 1940 |
Miaka ya 1950 |
Miaka ya 1960
| Miaka ya 1970
| Miaka ya 1980
| Miaka ya 1990
| ►
◄◄ |
◄ |
1958 |
1959 |
1960 |
1961 |
1962
| 1963
| 1964
| 1965
| 1966
| ►
| ►►
Matukio
- 20 Februari - John Glenn anazunguka dunia katika chombo cha angani akiwa Mmarekani wa kwanza kufanya hivyo.
- 1 Julai - Nchi za Burundi na Rwanda zinapata uhuru kutoka Ubelgiji.
- 5 Julai - Nchi ya Algeria inapata uhuru kutoka Ufaransa.
- 6 Agosti - Nchi ya Jamaika inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 9 Oktoba - Nchi ya Uganda inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa
- 1 Januari - Richard Roxburgh, mwigizaji filamu kutoka Australia
- 17 Januari - Jim Carrey, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Novemba - Jodie Foster, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 15 Machi - Arthur Holly Compton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1927
- 22 Juni - Shaaban Robert (mshairi maarufu wa Tanzania)
- 6 Julai - William Faulkner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1949)
- 5 Agosti - Marilyn Monroe, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 9 Agosti - Hermann Hesse (mwandishi Mjerumani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1946)
- 3 Septemba - Edward Cummings, mwandishi kutoka Marekani
- 18 Novemba - Niels Bohr (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1922)