Mtumiaji:Baba Tabita : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
{{busy}} |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
{{busy}} |
|||
'''ILANI: Hadi mwezi wa Julai 2010 nitakuwa hubanwa sana kazini. Asante kwa uvumilivu wenu! - Up to July 2010, I will be extremely busy at work. Thanks for your patience!''' --'''[[Mtumiaji:Baba Tabita|Baba Tabita]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Baba Tabita|majadiliano]])''' 09:59, 5 Aprili 2010 (UTC) |
|||
{{boxboxtop|Baba Tabita}} |
{{boxboxtop|Baba Tabita}} |
Pitio la 14:47, 20 Aprili 2010
Mtumiaji huyu ana kazi nyingi katika maisha ya kweli na hawezi kujibu maswali yako kwa uharaka zaidi. |
Baba Tabita | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
|
Ingawa jina langu rasmi ni Oliver, hapa Afrika Mashariki mimi huitwa Baba Tabita kwa ajili ya mtoto wa kwanza, binti anayeitwa Tabita.
Nimetoka Ujerumani lakini nimekaa Afrika Mashariki tangu mwaka wa 1996. Nafanya kazi kama mshauri wa kiisimu, na lengo langu ni kukuza matumizi ya lugha za Tanzania. Ndiyo sababu kuu ya kujitahidi kwangu upande wa ujenzi wa Wikipedia ya Kiswahili.
Mwezi wa Agosti 2009 nimefikisha michango 20,000.
Ingawa nimechaguliwa kuwa bureaucrat wa wikipedia mwezi wa Februari 2008, kazi yangu hunisafirisha mara kwa mara kwenda maeneo ambako hakuna mtandao hata kidogo. Nisiposafiri najitahidi kuingia kwenye wikipedia yetu angalao mara moja kwa juma. Nikiwa kimya kwa majuma kadhaa, naomba mnivumilie. Asanteni!