Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: zh-min-nan:Pêng-hong kong-lí |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Ondoa: wuu:平方公里 |
||
Mstari 101: | Mstari 101: | ||
[[vo:Kvadamilmet]] |
[[vo:Kvadamilmet]] |
||
[[wa:Kilomete cwåré]] |
[[wa:Kilomete cwåré]] |
||
[[wuu:平方公里]] |
|||
[[zea:Vierkante kilemeter]] |
[[zea:Vierkante kilemeter]] |
||
[[zh:平方千米]] |
[[zh:平方千米]] |
Pitio la 15:13, 10 Aprili 2010
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047