Mtaguso wa tatu wa Laterano : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Created page with ''''Mtaguso wa tatu wa Laterano''' uliitishwa na Papa Aleksanda III ufanyike huko Roma mwaka 1179, kutokana na Amani ya Venezia kati ya Kaisari [[Federiko I wa...'
 
d roboti Badiliko: pl:Sobór laterański III; cosmetic changes
Mstari 7: Mstari 7:
Ulimalizika kwa kutoa kanuni 27 na kutangua zile zilizotolewa na [[antipapa Paskali III]].
Ulimalizika kwa kutoa kanuni 27 na kutangua zile zilizotolewa na [[antipapa Paskali III]].


==Viungo vya nje==
== Viungo vya nje ==
*{{en}} [http://www.newadvent.org/cathen/09017b.htm Third Lateran Council (1179) katika [[Catholic Encyclopedia]].]
* {{en}} [http://www.newadvent.org/cathen/09017b.htm Third Lateran Council (1179) katika [[Catholic Encyclopedia]].]


[[Category:Mitaguso]]
[[Jamii:Mitaguso]]


[[ca:Concili del Laterà III]]
[[ca:Concili del Laterà III]]
Mstari 25: Mstari 25:
[[la:Concilium Lateranense Tertium]]
[[la:Concilium Lateranense Tertium]]
[[lt:Laterano III susirinkimas]]
[[lt:Laterano III susirinkimas]]
[[pl:Sobór Laterański III]]
[[pl:Sobór laterański III]]
[[ru:Третий Латеранский собор]]
[[ru:Третий Латеранский собор]]
[[uk:Третій Латеранський собор]]
[[uk:Третій Латеранський собор]]

Pitio la 15:16, 9 Aprili 2010

Mtaguso wa tatu wa Laterano uliitishwa na Papa Aleksanda III ufanyike huko Roma mwaka 1179, kutokana na Amani ya Venezia kati ya Kaisari Federiko I wa Ujerumani na Lega Lombarda ya Italia kaskazini.

Unahesabiwa na Kanisa Katoliki kama mtaguso mkuu wa 11.

Ulihudhuriwa na viongozi wa Kanisa 300 na kufanyika katika vikao vitatu, tarehe 5 Machi, 7 Machi na 19 Machi 1179.

Ulimalizika kwa kutoa kanuni 27 na kutangua zile zilizotolewa na antipapa Paskali III.

Viungo vya nje