Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: el:Ελληνιστική Κοινή; cosmetic changes |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: it:Koiné |
||
Mstari 23: | Mstari 23: | ||
[[ia:Lingua grec Koine]] |
[[ia:Lingua grec Koine]] |
||
[[id:Bahasa Yunani Koine]] |
[[id:Bahasa Yunani Koine]] |
||
[[it: |
[[it:Koiné]] |
||
[[ja:コイネー]] |
[[ja:コイネー]] |
||
[[ko:코이네 그리스어]] |
[[ko:코이네 그리스어]] |
Pitio la 04:26, 4 Aprili 2010
Kiyunani - jina hilo ni la Kiswahili cha kale kwa "Kigiriki", ambayo ni lugha ya nchi ya Ugiriki ("Uyunani") au tabia za Wagiriki ("Wayunani").
Neno la kale limetokana na lugha ya Kiarabu اليونان likatumikiwa hasa katika matoleo mbalimbali ya Biblia. Miaka ya nyuma neno la "Kigiriki" likasambaa zaidi, kutokana na athira ya Kiingereza kinachotumia "Greek" kutokana na tamko ya Kilatini "Graeci" ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya. Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", lugha yao "Helleniki".