Philippus Mwarabu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fy:Filippus Arabs
d roboti Nyongeza: uk:Філіпп Араб
Mstari 48: Mstari 48:
[[tl:Felipe ang Arabo]]
[[tl:Felipe ang Arabo]]
[[tr:Arap Philip]]
[[tr:Arap Philip]]
[[uk:Філіпп Араб]]
[[vi:Marcus Julius Philippus]]
[[vi:Marcus Julius Philippus]]
[[zh:阿拉伯人菲利普]]
[[zh:阿拉伯人菲利普]]

Pitio la 21:47, 23 Machi 2010

Faili:Antoninianus Philip the Arab - Seculum Novum.jpg
Shaba inayoonyesha Kaizari Philippus Mwarabu

Marcus Julius Philippus (takriban 204 – April/Mei 249) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia Februari 244 hadi kifo chake. Alimfuata Gordian III. Aliitwa Mwarabu kwa vile alizaliwa katika jimbo la Syria karibu na mji wa Damaskus na wazazi Waarabu.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Philippus Mwarabu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.