Bakaffa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
link de |
Uhabeshi --> Ethiopia; {{defaultsort}}; +jamii |
||
Mstari 3: | Mstari 3: | ||
{{mbegu}} |
{{mbegu}} |
||
{{DEFAULTSORT:Bakaffa}} |
|||
⚫ | |||
[[Category:Waliofariki 1730]] |
|||
⚫ | |||
[[de:Asma Sagad]] |
[[de:Asma Sagad]] |
Pitio la 20:04, 15 Machi 2007
Bakaffa (alifariki Septemba 1730) alikuwa mfalme mkuu wa Uhabeshi kuanzia 18 Mei, 1721 hadi kifo chake. Alimfuata kaka yake, Dawit III. Jina lake la kutawala lilikuwa kwanza Asma Sagad, halafu Masih Sagad. Wakati wa utawala wake, Wahabeshi waliona amani pamoja na ukuaji wa uchumi. Aliyemfuata ni Iyasu II.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |