North Carolina : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: rm:North Carolina |
d roboti Nyongeza: arz:كارولاينا الشماليه |
||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
[[ang:Norþ Carolīna]] |
[[ang:Norþ Carolīna]] |
||
[[ar:كارولاينا الشمالية]] |
[[ar:كارولاينا الشمالية]] |
||
[[arz:كارولاينا الشماليه]] |
|||
[[ast:Carolina del Norte]] |
[[ast:Carolina del Norte]] |
||
[[az:Şimali Karolina]] |
[[az:Şimali Karolina]] |
Pitio la 15:17, 16 Machi 2010
North Carolina (Karolina ya Kaskazini) ni jimbo la kujitawala la Marekani kwenye mwambao wa Atlantiki. Mji mkuu ni Raleigh na mji mkubwa ni Charlotte.
North Carolina ilikuwa kati ya majimbo 13 yaliyoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda Maungano ya Madola ya Amerika tangu 1789.
Imepakana na South Carolina, Georgia, Tennessee, Virginia na Bahari ya Atlantiki.
Jina limetokana na koloni ya Uingereza lililotolewa jina kwa heshima ya mfalme Charles II wa Uingereza. Kwa Kilatini "Charles ni "Carolus" au Karolo).
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu North Carolina kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |