Adamawa (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: yo:Ìpínlẹ̀ Adámáwá
Mstari 29: Mstari 29:
[[ru:Адамава (штат)]]
[[ru:Адамава (штат)]]
[[sv:Adamawa]]
[[sv:Adamawa]]
[[th:รัฐแอดามาวา]]
[[yo:Ìpínlẹ̀ Adámáwá]]
[[yo:Ìpínlẹ̀ Adámáwá]]
[[zh:阿達馬瓦]]
[[zh:阿達馬瓦]]

Pitio la 17:52, 13 Machi 2010

Mahali pa jimbo la Adamawa

Adamawa ni jimbo la kujitawala la Nigeria lenye wakazi milioni 3.7 (2005) na eneo la 36,917 km². Mji mkuu ni Yola na mji mkubwa ni Jimeta mwenye wakazi mit 248,166 (2005).

Jimbo liko katika mashariki ya Nigeria mpakani wa Kamerun. Limepakana na majimbo ya Borno, Gombe na Taraba.

Adamawa ilianzishwa mwaka 1976 kama jimbo kwa jina la Gongola kutokana maeneo ya jimbo la awali la Kaskazini-Mashariki. 1991 jina likabadilishwa kuwa Adamawa.


 
Majimbo ya Nigeria
Abia | Abuja Federal Capital Territory | Adamawa | Akwa Ibom | Anambra | Bauchi | Bayelsa | Benue | Borno | Cross River | Delta | Ebonyi | Edo | Ekiti | Enugu | Gombe | Imo | Jigawa | Kaduna | Kano | Katsina | Kebbi | Kogi | Kwara | Lagos | Nasarawa | Niger | Ogun | Ondo | Osun | Oyo | Plateau | Rivers | Sokoto | Taraba | Yobe | Zamfara
Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Adamawa (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.