Jumba la Makumbusho : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lb:Musée, mg:Donia, nv:Adooléʼéʼ daʼnéílį́ biłnaʼhazʼááh |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: bn:জাদুঘর |
||
Mstari 24: | Mstari 24: | ||
[[ba:Музей]] |
[[ba:Музей]] |
||
[[bg:Музей]] |
[[bg:Музей]] |
||
[[bn: |
[[bn:জাদুঘর]] |
||
[[br:Mirdi]] |
[[br:Mirdi]] |
||
[[bs:Muzej]] |
[[bs:Muzej]] |
Pitio la 17:07, 13 Machi 2010
Kwa kata nchini Tanzania tazama Makumbusho (Kinondoni)
Makumbusho ni jengo au taasisi penye maonyesho ya vitu vya kale, kazi za sanaa, sampuli za malighafi au vifaa kwa ajili ya kutunza kumbukumbu ya jamii.
Mkusanyiko wa aina hii hulenga kuonyesha mifano ya sanaa, utamaduni, teknolojia au mazingira asilia kwa manufaa ya kuwaelimisha watazamaji.
Kuna makumbusho ya aina mbalimbali yanayokazia fani fulani za elimu kama vile makumbusho ya historia, ya sanaa, ya teknolojia ya sayansi na kadhalika.
Kati ya makumbusho mashuhuri duniani ni
- Louvre mjini Paris
- makumbusho ya Britania mjini London
- Makumbusho ya Vatikani mjini Roma
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |