Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: oc:Quilomètre carrat |
d roboti Badiliko: an:Kilometro cuadrato |
||
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
[[af:Vierkante kilometer]] |
[[af:Vierkante kilometer]] |
||
[[als:Quadratkilometer]] |
[[als:Quadratkilometer]] |
||
[[an: |
[[an:Kilometro cuadrato]] |
||
[[ar:كيلومتر مربع]] |
[[ar:كيلومتر مربع]] |
||
[[ast:Quilómetru cuadráu]] |
[[ast:Quilómetru cuadráu]] |
Pitio la 06:27, 4 Machi 2010
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047