Hans Bethe : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
+jamii
Mstari 5: Mstari 5:


{{DEFAULTSORT:Bethe, Hans Albrecht}}
{{DEFAULTSORT:Bethe, Hans Albrecht}}
[[Category:Waliozaliwa 1906]]
[[Category:Waliofariki 2005]]
[[Category:Wanasayansi wa Ujerumani]]
[[Category:Wanasayansi wa Ujerumani]]
[[Category:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Category:Wanasayansi wa Marekani]]

Pitio la 21:05, 8 Machi 2007

Hans Bethe

Hans Albrecht Bethe (2 Julai, 19066 Machi, 2005) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa katika mji wa Strasbourg. Mwaka wa 1933 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.