Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: pnb:پاول چرنکوف; cosmetic changes
d roboti Badiliko: no:Pavel Tsjerenkov
Mstari 35: Mstari 35:
[[mr:पावेल अलेक्सेयेविच चेरेंकोव्ह]]
[[mr:पावेल अलेक्सेयेविच चेरेंकोव्ह]]
[[nl:Pavel Tsjerenkov]]
[[nl:Pavel Tsjerenkov]]
[[no:Pavel A. Tsjerenkov]]
[[no:Pavel Tsjerenkov]]
[[pl:Paweł Czerenkow]]
[[pl:Paweł Czerenkow]]
[[pnb:پاول چرنکوف]]
[[pnb:پاول چرنکوف]]

Pitio la 22:34, 16 Februari 2010

Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 19046 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.


Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pavel Cherenkov kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.