Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ko:요한의 셋째 서간
d roboti Nyongeza: yo:Episteli Johanu Keta
Mstari 53: Mstari 53:
[[tl:Ikatlong Sulat ni Juan]]
[[tl:Ikatlong Sulat ni Juan]]
[[ug:يۇھاننا يازغان ئۈچىنچى خەت]]
[[ug:يۇھاننا يازغان ئۈچىنچى خەت]]
[[yo:Episteli Johanu Keta]]
[[zh:約翰叁書]]
[[zh:約翰叁書]]

Pitio la 19:07, 15 Februari 2010

Agano Jipya


Barua ya tatu ya Yohane ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Mwandishi

Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.

Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.

Mlengwa

Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.

Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili