Pearl S. Buck : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: am:ፐርል በክ Modifying: it:Pearl Sydenstricker Buck |
+jamii |
||
Mstari 5: | Mstari 5: | ||
{{DEFAULTSORT:Buck, Pearl S.}} |
{{DEFAULTSORT:Buck, Pearl S.}} |
||
[[Category:Waliozaliwa 1892]] |
|||
[[Category:Waliofariki 1973]] |
|||
[[Category:Waandishi wa Marekani]] |
[[Category:Waandishi wa Marekani]] |
||
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] |
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] |
Pitio la 14:45, 7 Machi 2007
Pearl Buck (26 Juni, 1892 – 6 Machi, 1973) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Jina lake la kuzaliwa ni Pearl Comfort Sydenstricker; Buck ni jina la mume wake. Lakini aliandika chini ya jina la John Sedges. Anajulikana hasa kwa riwaya zake juu ya maisha katika nchi ya Uchina ambapo alilelewa akiwa mtoto wa wamisionari. Mwaka wa 1938 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |