Bamba la Karibi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: de:Karibische Platte
Mstari 20: Mstari 20:
{{jaribio}}
{{jaribio}}


[[de:Karibische Platte]]
[[en:Caribbean Plate]]
[[en:Caribbean Plate]]
[[es:Placa del Caribe]]
[[es:Placa del Caribe]]

Pitio la 02:53, 5 Machi 2007

Bamba la Karibi
Volkeno za Karibi

Bamba la Karibi ni bamba la gandunia lililopo chini ya Amerika ya Kati na Bahari ya Karibi. Limepakana na mabamba ya Amerika ya Kaskazini, Amerika ya Kusini na Nazi (Cocos Plate). Eneo lake ni takriban milioni 3.2 km².

Mipaka yake na mabamba mengine ni mahali pa matetemeko ya ardhi na milipuko ya volkeno. Baharini mpaka huu unaonekana kwa pinde la visiwa vya Karibi.

Nadharia ya asili yake

Nadharia ya asili yake inasema ya kuwa bamba hili lilikuwa sehemu ya juu ya bamba la Pasifiki. Wakati bamba la Atlantiki ilisukuma mabamba ya Amerika ya Kaskazini na Kusini kuelekea magharibi bamba hili la Karibi ilijisukuma juu ya bamba la Atlantiki. Kutokea kwa mlango wa nchi ya Amerika ya Kati kulitenganisha bamba hili na Pasifiki.

Viungo vya nje

Makala hiyo kuhusu "Bamba la Karibi" inatumia neno ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio kwa jambo linalotajwa.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.