John Fisher : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: cs:John Fisher |
d robot Adding: ja:ジョン・フィッシャー |
||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
[[fr:John Fisher]] |
[[fr:John Fisher]] |
||
[[it:San Giovanni Fisher]] |
[[it:San Giovanni Fisher]] |
||
[[ja:ジョン・フィッシャー]] |
|||
[[la:Iohannes Roffensis]] |
[[la:Iohannes Roffensis]] |
||
[[no:John Fisher]] |
[[no:John Fisher]] |
Pitio la 23:32, 4 Machi 2007
John Fisher (1469 – 22 Juni, 1535) alikuwa padre Mkatoliki kule Uingereza. Pia aliitwa John wa Rochester. Alimkataa mfalme Henry VIII aliyejitenga na Kanisa la kikatoliki. Kwa hiyo, John Fisher alifungwa ndani na baada ya kushtakiwa mahakamani aliuawa. Mwaka wa 1935 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 9 Julai.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |