Karne ya 15 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: ar:ملحق:قرن 15; cosmetic changes |
d roboti Nyongeza: qu:15 ñiqin pachakwata |
||
Mstari 136: | Mstari 136: | ||
[[pl:XV wiek]] |
[[pl:XV wiek]] |
||
[[pt:Século XV]] |
[[pt:Século XV]] |
||
[[qu:15 ñiqin pachakwata]] |
|||
[[ro:Secolul al XV-lea]] |
[[ro:Secolul al XV-lea]] |
||
[[ru:XV век]] |
[[ru:XV век]] |
Pitio la 09:05, 5 Februari 2010
miaka ya 1450 | miaka ya 1460 | miaka ya 1470 | miaka ya 1480 | miaka ya 1490
Karne ya 15 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1401 hadi 1500. Kikamilifu kilianza tar. 1 Januari 1401 na kuishia 31 Desemba 1500. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu - hali halisi maendeleo na mabadiiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii.
Watu na matukio
- Ulaya kutoka Karne za kati inaingia hali mpya kuanzia Italia
- Huko Amerika ustaarabu wa Waazteki (Meksiko) na wa Wainkas (Peru)
- Mwisho wa Vita vya miaka mia
- Mwisho wa Dola la Bizanti (1453); Waturuki wanaenea Ulaya mashariki kusini
- Wakristo wanamaliza kuteka tena Hispania kutoka utawala wa Uislamu 1492
- Kristofa Columbus (Genova, 1451 - Valladolid, 1506), anafungua njia za baharini kati ya Ulaya na Amerika
- Leonardo wa Vinci, mwanasayansi na mwanasanaa bora
- Johann Gutenberg, anabuni uchapishaji kwa herufi za kuhamishwahamishwa